CATHOLIC DIOCESE OF TANGA
Calendar 2007
Down we have the Diocesan Calendar which indicates different activities in the year.

JANUARI
1
• Mapumziko ya Mwaka Mpya 2007 – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
6
Mkutano wa mwezi MSJ na Matendo ya Huruma
7
• Tokeo la Bwana (Sikukuu ya Epifania)
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
7
Kipaimara – Kifungilo
08-14
Wiki ya Neema
9
Ubatizo wa Bwana
12
Kanisa Kuu: Ushemasi wa Mafrateri 2 (Rosminians)
- Frt. Peter Bahati na
- Frt. George Kamau
• Mapinduzi ya Zanzibar
Mama Lishe (Rosminians Fathers Mwambani) MSJ
13
Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
14
Mkutano WAWATA Jimbo na WAWATA St. Peters Pongwe
15
Kuombea Wahamiaji na Wakimbizi
18-25
Novena ya Kuombea Umoja wa Wakristo
20
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
20-21
Kikao cha Viongozi na wanachama wote – Parokia ya Kilole
21
Kuhamasisha Parokia tarajiwa ya Donge
25
• Kukaribisha Mwaka (Tumaini Health Centre) +Misa Takatifu
• Kuongoka kwa Mtume Paulo
• Seminari Kuu Kipalapala na Segerea: Siku ya kutoa Daraja la Ushemasi kwa Mafrateri wa Mwaka wa Nne (wamo pia wa Tanga:
Frt. Augustine Temu (Segerea)
Frt. Paul Semng’indo (Segerea)
Frt. Ernest Kipingu (Kipalapala)
26-29
Askofu Mapumzikoni (Morogoro)
27
• Tafakari pamoja na Wenyeviti wa VMJ ngazi ya Jimbo na Kamati Tendaji ya H/W Jimbo – St. Peters Pongwe
Mkutano wa Sala – Focolare Movement – St. Teresa
28
Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo
FEBRUARI
2
Kumtolea Bwana Hekaluni – Siku ya Watawa Duniani (Kijimbo: Mombo)
03
Mkutano wa Mwezi MSJ na kuwaombea wagonjwa – Misa
04
• Sala: Maisha ya Watawa na Maskini wanaotuzunguka – C.O.L.U. Sisters St. Anthony – Mhusika Fr. John Kikka
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK (P) Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
10
Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
11
• Kuombea Wagonjwa Kijimbo
• Kuhamasisha Parokia ya Mt. Teresa – MSJ
• Mkutano WAWATA Mt. Antoni wa Padua na K/Tendaji WAWATA Jimbo
12-18
Semina ya Kufunguliwa – Karismatik
17
• Kikao cha Viongozi wote wa Kanda – Kituo cha Vijana Tanga
• Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
18
• Kipaimara na Kubariki jiwe la msingi la kigango cha Gologolo na Shule ya Msingi English Medium – Parokia ya Rangwi
21
• Jumatano ya Majivu: Siku ya Kufunga
• Kuwaombea marehemu wa MSJ – Misa na Matendo ya Huruma
• Mama Lishe MSJ
23
• Mkutano wa sala – Focolare Movement – St. Teresa
24
• Kikao cha viongozi wote wa Parokia – Parokiani Lushoto
25
• Dominika ya 1 ya Kwaresma Mwaka C
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo
• Mkutano WAWATA Jimbo na WAWATA Parokia ya Mt. Mathias Mulumba
28
Kupokea taarifa za uchaguzi ngazi ya JNNK – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
MACHI
03
  • Kamati Tendaji MSJ kukutana
  • Mkutano wa mwezi MSJ
04
• Dominika ya II ya Kwaresma
• Kuhamasisha Parokia ya Mt. Gerald Pongwe – MSJ
• Sala: Jirani yangu ni Nani – C.O.L.U. Sisters – St. Teresa – Mhusika Baba Askofu Antoni Banzi
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
• Mkutano WAWATA (J) na WAWATA Parokia ya Pangani
10
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokia Mt. Antoni wa Padua
• Kikao cha Viongozi wote wa Parokia – Parokiani Kilole
11
• Dominika ya III ya Kwaresma
• Mkutano wa viongozi wa VMJ Parokia – Mt. Antoni wa Padua
15
• General Meeting – Health Department
17
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
17/3 – 2/4
Mkurugenzi safarini Windhoek, Namibia kuhudhuria mkutano wa Kimataifa wa elimu ya awali
18
• Dominika ya IV ya Kwaresma
• Mkutano WAWATA Parokia ya Mt. Teresa na WAWATA Jimbo
19
• Mt. Yosef, Baba Mlishi wa Yesu - Sikukuu ya Somo Mtakatifu wa Seminari ya Soni
• Kutembelea Soni Seminari MSJ
24
• Mafungo – Karismatik
• Kikao cha Viongozi wote wa Parokia za Handeni na Kwediboma na Vigangoni – Parokiani Handeni
25
• Dominika ya V ya Kwaresma
• Semina kwa viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo na Viongozi wa Kanda ya Lushoto
26
Kumtangaza Bwana
30
• Kubariki Mafuta (Misa ya Krisma saa 10.30 jioni – Kanisa Kuu la Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Teresa
30/3 – 1/4
Sikukuu ya Vijana Ulimwenguni – Tamasha la matawi katika Kanda zote – Kanda ya Tanga Mjini (Parokiani St. Teresa)
Kanda ya Korogwe (Kilole) Kanda ya Lushoto (Lushoto Parokiani)
APRILI
01
• Dominika ya Matawi
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
05
• Alhamisi Kuu
• Gospel Sharing – C.O.L.U. Sisters St. Mathias Mulumba – Mhusika Sr. Catherine
06
Ijumaa Kuu
06-14
Novena ya Huruma ya Mungu – MSJ
07
• Jumamosi Kuu
• Mkutano wa mwezi MSJ
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokiani Mt. Antoni wa Padua
08
Ufufuko wa Bwana (PASAKA)
09
Jumatatu ya PASAKA – Kuwatembelea wasiojiweza walioko nyumbani – MSJ
14
Kutembelea Handeni Parish – Idara ya Katekesi
15-16
Kutembelea Kwediboma – Idara ya Katekesi
16-21
Financial Management for Bishops (T.E.C.)
16-22
Semina ya Maombezi – Karismatik
20
Kutembelea Soni na kuongea na viongozi wa H/W Parokia za Soni na Sakharani na kuongea na wana NDOA wote – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
21
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
26
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo
• Siku ya Somo: Bikira Maria Mama wa Shauri Jema (MSJ)
27
• Mkutano wa Viongozi wa Makatekista Kanda zote – Korogwe – Idara ya Katekesi
• Mkutano wa Sala – Focolare Movement –Parokiani Mt. Anthoni wa Padua
29
• Dominika ya IV ya Pasaka: Siku ya kuombea na kuchangia miito
• Kupokea wanachama wapya (Makandidati) wa MSJ – Kanisa Kuu
• Mkutano WAWATA Parokia ya Tekwa na WAWATA Jimbo
MEI
01
• Mt. Yosef Mfanyakazi: Siku ya Wafanyakazi Duniani
• Misa kumuomba Mt. Joseph Mfanyakazi
05
• Kamati Tendaji kukutana asubuhi – MSJ
• Mkutano wa mwezi MSJ
06
• Maisha yetu ya kila siku na karama zetu za Shirika – COLU Sisters Saruji
• Kuhamasisha Parokia ya Mt. Petro Saruji – MSJ
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
11-13
Semina ya NDOA – Karismatik
12
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Tathmini ya matamasha ya Kanda - Kanda ya Tanga (Kituo cha Vijana), Kanda ya Korogwe (Mazinde Ngua) Kanda ya Lushoto (Malindi)
19
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
20
• Kupaa Kwake Kristo Mbinguni
• Mkutano Mkuu wa uchaguzi ngazi ya Parokia – H/W Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
25
• Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Anthony
26
• Mkutano Kamati Tendaji H/W Jimbo na Viongozi wa Kanda ya Tanga
• Kutembelea Parokia ya Magoma – Idara ya Katekesi
• Tafakari ya pamoja na viongozi wa Kamati Tendaji Jimbom VMJ – Kanisa la Kiaskofu Tanga – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
27
• PENTEKOSTE, Siku ya Waamini Walei
• Matendo ya Huruma – MSJ
• Kupokea taarifa za uchaguzi ngazi zote za Parokia – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
JUNI
01
Kamati Tendaji na Bodi kukutana – MSJ
02
• Wat. Karoli Lwanga na Wenzake, Mashahidi wa Uganda
• Mkutano Mkuu wa Tawi (Uchaguzi wa Viongozi) Mafungo/Semina
03
• Utatu Mtakatifu
• Sherehe ya Somo – Mt. Joseph Mukasa Parokia tarajiwa Amboni
• Maisha ya Utawa ya Karne hii yanakoleza Miito – IVREA Sisters Zaneth
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Utatu Mtakatifu
• Somo wa Makatekista Kijimbo- Idara ya Katekesi
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
06
Maisha ya Utawa ya Karne hii yanakoleza Miito? – IVREA Sisters Zaneth – Mhusika Fr. Kiwori
09
Kikao cha Kamati Tendaji H/W Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
10
• EkaristiTakatifu (Kijimbo Kanisa Kuu la Mt. Antoni wa Padua
• Somo wa Parokia – Parokia ya Lushoto
14-19
Supervision – Health Department
15
• Moyo Mt. Wa Yesu: Siku ya Kutakatifuza Mapadre
• Kutembelea Parokia ya Kongoi – Idara ya Katekesi
16
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
17
• Sikukuu ya somo wa Parokia – Mt. Antoni wa Padua
• Kuhamasisha Parokia ya Muheza – MSJ
18
Board Meeting – Health Board
23-29
60th Plenary Assembly (T.E.C.)
24
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo Kanisa Kuu
• Somo wa Parokia tarajiwa ya Donge na Komunyo ya Kwanza
25-1/7
Fire Conference – Karismatik
29
• Wat. Petro na Paulo Mitume
• Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Anthony
JULAI
01
Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall – pia utaandaa semina kwa VIRAFRA
02
Hospital Meeting (Tumaini Health Centre)
03
Mkutano wa Maaskofu CSSC (Eastern Zone)
04-20
Retriti ya Mapadre wa Jimbo (Mwambani)
05
Gospel Sharing – Donge – COLU Sisters Mwambani and Commercial School Sisters – Mhusika Sr. Hieronima
07
• Sabasaba: Upadrisho St. Theresa (Shemasi Augustine.Temu).
• Mkutano wa mwezi MSJ
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa K/Tendaji H/W (J) na Kanda ya Korogwe kwa ajili ya kuandaa mkutano mkuu
08
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Kuhamasisha Parokia tarajiwa Amboni – MSJ
• Kutembelea mradi wa Shirikisho Morogoro – MSJ
8-15
Wiki ya Vijana na Matendo ya Huruma
13 – 14
Mkutano wa Viongozi Parokia ya Manundu Korogwe - UVIKATA
15
Komunyo ya Kwanza – Mt. Antoni wa Padua
21
• Upadrisho wa Shemasi Paul Semng’indoRangwi
• Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
27
Mkutano wa Sala Focolare Movement – Mt.Mathias Mulumba
29
• Kamati Tendaji ya H/W Jimbo na Kanda ya Korogwe
• Komunyo ya Kwanza – Mt. Mathias Mulumba
30
Kupokea taarifa za uchaguzi wa viongozi wa VMJ ngazi ya Jimbo – Mkurugenzi wa Utume wa Walei na VMJ
AGOSTI
01
Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
04
• Kamati Tendaji kukutana MSJ
• Mkutano wa mwezi MSJ
05
• Dominika ya XVII ya Mwaka: Siku ya Upashanaji Habari
• Kuhamasisha Parokia ya Hale – MSJ
• Komunyo Takatifu Parokia tarajiwa Amboni
• Kipaimara – Kwai
• Maisha ya Utawa na Changamoto la ugonjwa wa UKIMWI – St. Gerald PongweC.O.L.U. Sisters - Mhusika Sr. Flora
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
08
• Siku ya Wakulima – Nanenane
• Upadrisho wa Shemasi Ernest Kipingu – Kwesine Sakharani Parish
11
Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
12
• Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria
• Kipaimara, mawe ya Msingi na kubariki Makanisa – Handeni
• Matendo ya Huruma na Mama Lishe – MSJ
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo kuhusu maandalizi ya uchaguzi wa H/W Jimbo na VMJ Jimbo
Hija - UVIKATA
15
Kipaimara Parokiani Gare
19
Semina kwa viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
18
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
24 - 26
• Halmashauri Kuu WAWATA Jimbo
• Mkutano Mkuu WAWATA Jimbo. -Kanisa Kuu la Mt. Antoni wa Padua
26
• Kipaimara – Kwalukonge
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo na Viongozi wa VMJ – kanisa Kuu
28
Mt. Augustino – Somo wa Parokia ya Manundu
31
Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Mathias Mulumba
SEPTEMBA
01
• Kamati Tendaji kukutana – MSJ
• Mkutano wa mwezi MSJ
• Mkutano Mkuu wa Uchaguzi H/W Jimbo – Korogwe
02
• Dominika ya XXII ya Mwaka C – CARITAS
• Kuhamasisha Parokia ya Kilole – MSJ
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Kuwapenda maadui na msamaha wa kweli – St. AnthonyC.O.L.U. Sisters Hostel and Raskazone House
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
3-9
Semina ya Ushauri Nasaha
Mkutano wa Mkuu wa Uchaguzi – Rock Memorial Korogwe - UVIKATA
08
Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
14
Siku ya Sala Makatekista Kanda ya Korogwe – itafanyika Manundu Parokiani – Mhashamu Baba Askofu atahudhuria – Idara ya Katekesi
15
• Bikira Maria wa Mateso – Misa – Kutembelea Soni Seminari – MSJ
• Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
16
• Kipaimara na Mavuno Mt. Augustino Manundu
• Kipaimara Parokia tarajiwa Amboni na sherehe za uzinduzi wa Jengo la Kichungaji
22
Adhimisho la Mt. Rock Msimamizi wa Shule na Mwenza wa Pd. Rock Katabure – Mkurugenzi wa utume wa Walei na VMJ
23
Kipaimara: Kikunde na Chamtui (Kwediboma)
29
• Kamati ya Hija Gare – H/W (J)
• Malaika Wakuu – Misa MSJ
• Matendo ya Huruma – MSJ
30
• Kipaimara: Mt. Teresa
• Mavuno Mt. Mathias Mulumba
OKTOBAmwezi wa kusali Rozari
04
Sikukuu ya Mt. Fransisko wa Asisi wote wahudhurie Misa katika Parokia zao
06
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
• Mkutano wa mwezi – MSJ
• Malaika Walinzi
07
• Kipaimara na Mavuno: Tekwa
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Kuhamasisha Parokia ya Mt. Augustino Manundu – MSJ
• Kufariji waliofiwa na ndugu zao – MSJ
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Maisha ya Utawa na Familia zinazotuzunguka – St. TheresaC.O.L.U. Sisters St. Anna na Tumaini – Mhusika Sr. Florentina
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
• Mavuno Parokia ya Lushoto
8-14
• Kongamano la Vijana Kitaifa – Jimbo la Dodoma - UVIKATA
14
• Dominika ya XXVIII ya Mwaka C – Kumbukumbu ya Baba wa Taifa – Mwalimu Day
• HIJA KIJIMBO
• Wafransisko wote washiriki Hija
20
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
21
• Dominika ya XXIX ya Mwaka: Siku ya Misioni (Kueneza Dini)
• Mavuno Parokia tarajiwa ya Donge
28
• Watakatifu Wote
• Matendo ya Huruma – MSJ
• Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo Kanisa Kuu Tanga
• Mavuno Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
31
• Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Anthony
NOVEMBA
01
• Marehemu Wote (Kilole)
• Mkutano Mkuu wa Viongozi kuanzia ngazi ya Parokia – Idara ya Katekesi
02
Marehemu Wote (maparokiani)
Bodi na Kamati Tendaji kukutana – MSJ
03
• Mafungo H/W Jimbo na VMJ – Mwambani
• Mkutano Mkuu wa tawi – mafungo/semina – MSJ
04
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Ushuhuda wetu katika mazingira ya Imani potofu (Ushirikina) – St. Gerald PongweC.O.L.U. Sisters Rosmini Secondary – Mhusika Fr. F. Tarimo
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall – Pia Wafransisko wakumbukeni marehemu
5-11
Wiki ya Neema Tanga Mjini – Karismatik
10
Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
11
• Mkutano wa viongozi wa VMJ Parokia – Mt. Antoni wa Padua
• Kipaimara na Kubariki Kanisa jipya la Kigango cha Mkumbara – Mazinde Ngua
15
• Closing General Meeting – Health Board
17
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
24
Mkutano wa Kamati Tendaji H/W Jimbo
25
• YESU KRISTO MFALME: Kilele cha Shukrani ya Mavuno Kijimbo (Kanisa Kuu)
• Matendo ya Huruma – MSJ
30
• Mkutano wa Sala Focolare – St. Anthony
DESEMBA
01
• Kuombea Waathirika wa VVU/UKIMWI
• Mkutano wa mwezi MSJ
02
• Dominika ya I ya Majilio Mwaka A
• Mkutano wa Viongozi wa JNNK Parokia ya Mt. Antoni wa Padua
• Utume wa Mtawa Jimboni –Majani Mapana – C.O.L.U. Sisters Majani Mapana – Mhusika Rt. Rev. Bishop A. Banzi
• Mkutano wa mwezi Wafransisko wa Asisi – Mt. Antoni wa Padua Hall
04
Nadhiri za muda na Missio Canonica: Rangwi Novitiate
08
• Bikira Maria Imakulata: Siku ya Nadhri za Daima na Jubilei – Konventi ya Masista wa C.O.L.U. Kwamndolwa
• Mafungo/semina Mkutano Mkuu wa Shirikisho Morogoro MSJ
• Kikao cha Kamati Tendaji H/W (P) Mt. Antoni wa Padua
09
Dominika ya II ya Majilio: Siku ya Jamhuri (Tanzania)
15
Mkutano wa Kamati ya Utendaji WAWATA Jimbo – Ofisi ya WAWATA Jimbo
24
Misa ya Mkesha wa NOELI
25
KUZALIWA KWAKE YESU KRISTO (NOELI)
26
Kipaimara: Donge
28
Watoto Mashahidi: Siku ya Utoto Mtakatifu (Utume wa Watoto)
Mkutano wa Sala Focolare Movement – St. Anthony
30
Familia Takatifu
31
• Mwisho wa Mwaka 2007
• Mkesha wa Mwaka Mpya 2008
JANUARI 2008
01
Mwaka Mpya: Umama wa Bikira Maria