WASIFU WAKE
Fr. Bernard Chissi
Parents:
Father: Bernard Mageuza Chisi
Mother: Kerubina Severine Luambano
Date and Place of Birth:
Date of birth: October 1958 Peramiho, Village: Ruhuwiko - Namandizi, Ward: Ruhuwiko, District: Songea Mjini , Region: Ruvuma, Country: Tanzania
Deaconate and Priesthood
Deaconate: 1992
Priesthood: 24/June/1994
Education:
Primary School Std I-VII, Seconday education form I-VII
Philosophy, Two year course,, Theology, four years course,
Other Courses and Achievement:
Clinical Pastoral education 6 months course., Financial Accounting, one year course.
Working experience:
1994 - Diocesan Procurator
1999 - Parish Priest of Mlingano Parish
2011 Sabbatical year
Died May 2012
MAREHEMU PADRE BERNARD CHISSI
Tarehe 9 Mei 2012 mwenzetu mpendwa padre Bernard Chissi amefariki dunia katika hospitali ya Tumaini Tanga. Padre Chisi amezikwa siku ya
Jumanne (Mei 15, 2012) kwenye makaburi ya mapadre wa jimbo la Tanga kule parokiani Kilole, Korogwe Tanga.
Baba Chissi ni mwenyeji wa parokia ya Mtindiro katika wilaya ya Muheza. Kwa miaka 12 mfululizo hadi kiangazi mwaka jana, padre Chissi alikuwa
paroko wa parokia ya Mlingano. Baba Chissi alikuwa ni mchapa kazi hodari katika shamba la Bwana kule Mlingano na jimboni. Mchango wake katika uinjilishaji
kule Mlingano na pia ujenzi wa parokia ni mkubwa mno.
Baada ya kuondoka parokia ya Mlingano mwaka jana, padre Chissi amekuwa katika kipindi cha sabatiko kwa muda mfupi katika tawa za Ligano na Hanga kule
Songea kabla ya kurudi jimboni Tanga na kuendelea na sabatiko yake kule kituo cha kiroho Amani - Tanga.
Wiki mbili kabla ya kifo chake padre Chissi alipata "stroke" akiwa kule Amani na kuletwa katika hospital ya Tumaini Tanga kwa tiba mpaka alipofariki dunia.
Tuiombee roho ya marehemu padre Bernard Chisi na roho za marehemu wote waamini mapumziko ya milele mbinguni. AMINA
catholic diocese of Tanga © 2024
|